Maradhi haya ni hatari na ni janga la ulimwengu kwa sasa na zimesambaa sana hapa nchini juu ya maradhi haya ya Corona. Huu ndio ukweli 1:-Corona Ni virusi vinavyosababisha ugonjwa uitwao COVID-19. >>Virusi hivi humpata yeyote nipende kuondoa dhana ya kuwa ukiwa mtu mweusi haupati huo ni UONGO 2:-COVID-19 Husambaaje au huambukizwaje?? Tumedanganyana sana juu ya ugonjwa huu unavyosambaa tena makutishiana zaidi Eti ugonjwa huu Husambaaje kwa njia ya hewa ndo maana wanavaa mask au eti ukigusana na mtu mwenye Corona ndo utapata ndo maaa wanavaa gloves >>> Ukweli ndio huu hapa ugonjwa huu unaambukizwa au kusambaa pale mate,makasi au makohozi ya mtu mwenye maambukizi virusi hivyo yanapogusa uso was mtu asiye na maambukizi na hapo mtu ataambukuzwa >>Sababu ya kuvaa mask Ni ili kuzuia zili chembe za mate au makohozi zisiguse maeneo ya uso wako. MAKALA HII ITAENDELEA
Get things you don't know and if you know to know more about Life, science, sports. Find story from me as well as downloading song and clips