Skip to main content

UONGO UNAOSAMBAA KUHUSU KORONA

 

Maradhi haya ni hatari  na ni janga la ulimwengu kwa sasa na zimesambaa sana hapa nchini juu ya maradhi haya ya Corona.
Huu ndio ukweli

1:-Corona Ni virusi vinavyosababisha ugonjwa uitwao COVID-19.
  >>Virusi hivi humpata yeyote nipende kuondoa dhana ya kuwa ukiwa mtu mweusi haupati huo ni UONGO
2:-COVID-19 Husambaaje au huambukizwaje??
Tumedanganyana sana juu ya ugonjwa huu unavyosambaa tena makutishiana zaidi
Eti ugonjwa huu Husambaaje kwa njia ya hewa ndo maana wanavaa mask au eti ukigusana na mtu mwenye Corona ndo utapata ndo maaa wanavaa gloves
>>> Ukweli ndio huu hapa ugonjwa huu unaambukizwa au kusambaa pale mate,makasi au makohozi  ya mtu mwenye maambukizi virusi hivyo yanapogusa uso was mtu asiye na maambukizi na hapo mtu ataambukuzwa
>>Sababu ya kuvaa mask Ni ili kuzuia zili chembe za mate au makohozi zisiguse maeneo ya uso wako.

     MAKALA HII ITAENDELEA

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

THE UNKNOWN

  CHAPTER SIX Previously Detective’s daughter was kidnapped by a stranger then a man ran to the police station with blood all over him and said he didn't want to die so what happened next…….. Continue…. “Please put me in jail” a blooded man said “Why?”  a confused police asked            "Am the one who kidnap detective's daughter" a blooded man said             "So where is the child?" A police asked               "In my safe house" he answered            "So can you go with us?" A police asked            '' i can't she is hunting me"  the blooded man said with frightened voice             "Ok calm down you'll be with ...

THE UNKNOWN

     CHAPTER FIVE                                   Previously on chapter four  A detective's house was stalked by an unknown man so he starts and also the killer knows every move that he takes so what should he do?    Continue.       That event sent butterflies to his stomach and he was deathly scared about her family's safety. He asked himself what to do next and how he would save his family.         "Good morning dad" said Rehema         " Good morning how was your night dad" he asked while forcing smile on his face           "Was super great when your here with us" she answered while smiling          "Good morning baba Rehema" his wife greeting...

THE UNKNOWN

CHAPTER FOUR   Previous on chapter three. Some suspicious appear in between the team because of the new detective, while new murder take place. Continue.      Since the first murder there's no any news media which report about the case so the detective Patrick take a little break because he didn't stand on his house's door for weeks now and his family didn't see him for about a month or so. So he carry three bags with him to his family.    " Hodiii" he knock the door.    "Karibuuu" a female voice answered as she run to open the door     "Asante" he answered     " Shikamoo Baba" a female voice greet   "Marahaba my daughter how are you?" He asked after answered     "Am fine how are you?" She asked     " Am fine my daughter " he answered    "Mama dad is here" she said loud to her mother and then she said"dad did you know I have...