Skip to main content

THE HUNTER

 CHAPTER TWO.



Miaka kumi baada ya tukio.

Kijana mmoja anashuka kwenye ndege kwenye uwanja wa ndege wa mwalimu Nyerere huku akivaa nguo nzuri za gharama na kupokelewa na mwanaume mwingine aliyekuwa anamsubiri.

   "habari yako bosi pole kwa safari" alisema yule mtu aliyekuwa anamsubiria

  "salama James za siku nyingi?" aliuliza yule bosi kwa sauti yake ya kukwaruzakwaruza kama mtu aliyekabwa hali hiyo ilimuuma ila hakuwa na jinsi na ameshaanza kuzoea

    "salama mkuu" alisema James

    "Twende zetu home tutajua la kufanya"alisema bossi

    "sawa bosi"alisema huku akitaka kuchukua mizigo ila alikuta bossi kashaichukua na kuiweka kwenye buti ya gari

    "sasa bosi si uache nikusaidie" alisema James

    "unisaidie..... KWANI UMESIKIA MIMI NI MLEMAVU?" aliuliza bossi kwa jazba

   "hapana mkuu"alijibu Jamesi kwa hofu

   "Dah!! saamahani bhana alisema bossi huku akiachia ule mzigo aliokuwa nao ili James aubebe, hali hiyo ilamshangaza sana James maana alikuwa anajua kuwa mkuu wake ni mkorofi pia alihisi ni mtu mwenye hasira muda wote ila alichoambiwa na ukweli wenyewe ni vitu viwili tofauti.Wakapanda gari na kuanza safari ya kwenda Kilimanjaro.

            Mjini Moshi kwenye jengo la kilimani ofisi za kampuni kubwa ndani ya ofisi kuna mwanaume mwenye umri wa miaka 30 akiwa ameweka miguu juu ya meza na mbele ya meza kuna utambulisho wa jina lake ambalo ni David ambaye ni mtoto wa bwana Jacson Urasa ambaye alifariki na kumuachia hizo mali ambazo zilisimamiwa na mama wa kambo aliyeitwa mama James.

       " habari yako mwanangu" ilisikika sauti ya mwanamke ikimsalimia David naye alikuwa ni mama James

       "salama shkamoo mama" alijibu David

       "marhabaa umeshndaje?" aliuliza mama James

      " salama sijui wewe mama?" aliuliza David

       "mimi niko salama nimepata habari kutoka kwa James kwamba yule mgeni anakuja sasa tujiandae" alisema mama James

      "sawa mama anakuja saa ngapi?" David aliuliza

      "atafika jion nahisi atakuwa hotelini labda kindoroko ila sijajua hivyo fanya ukampokee sawa?" alisema mama James

      "sawa mama kwani si tuende wote?" aliuliza David

      "mh!! ila nina kazi nyingi sana" alisema Mama James

      "mh! mama kazi haziishagi twende wote" alisema David

      "tangu uache bodaboda umekuwa mstaarabu sana" alisema mama James "okay sawa tutaenda wote na usiendeshe gari kama kichaa" aliongezea

            Upande wa bossi na James walikuwa safarini kuelekaea Kilimanjaro huku James akiwa na furaha sana ila Bossi wake akiwa na wasiwasi.

         "Bossi mbona unawasiwasi?" aliuliza James

        "nawaza James alafu usiniite Bossi" alisema Bossi

       "sasa unataka nikuiteje nikuite jina lako ili kilamtu akujue au nikuite hivihivi?" aliuliza James

       "Haya bhana ila twende kufuata mpango wetu au unasemaje? aliuliza Bossi

       "ndoivo tunavyotakiwa"alijibu James huku akitabasamu

        "ila bosi nilitakiwa nikuite wewe" alisema Bossi

         "acha ujinga wewe unastahili hili jina kwahiyo sitaki kuusikia huvyo na wewe unajua kwanini unaitwa hivyo"alisema James

     "kwani nimekataa?" alisema Bossi nayo safari ikayoyoma walipokaribia moshi walipiga simu nyumbani ili kuwapa taarifa ya safari yao

     "Halo shkamoo mama" alisema James kumsalimia mamaye

     "marhaba mwanangu hujambo?" aliuliza mama James

     " sijambo sisi ndo tumefika kiborloni" alisema James

     "Sawa" alisema James kisha akakata simu

    "Haya tutawakuta kwanye kituo cha mabasi cha moshi mjini" alisema James kumwelekea Bossi wake

    " ok sawa" bossi alijibu huku akipiga muayo

            Huku nyumbani kwa mama Jamesi akiwa anajiandaa akampigia simu David ajiandae kumpokea huyo mgeni atakayekuja ambaye hata wao hawamjui kwa sura na ni mgeni muhimu katika kampuni ambapo wanamsubiria ili kuisaidia kampuni dhidi ya kufilisika.Baada ya David kufika tu walipanda gari na kuanza safari yao kuelekea kituo cha mabasi Moshi mjini walipofika walishuka na kumsubiri mgeni wao kwenye kiamgahawa ka fresh coach. Mji ulikuwa na baridi kiasi ambayo ilifanya mji kupoa na pia kelele za watu kama nyuki kwenye mzinga zilifanya mji uendelee kupendeza ila hali ilibadilika baada ya James kufika na mgeni wake papo hapo hali joto iliongezeka na dunia yote ikakaa kimya kanakwamba walipata uziwi wa ghafla nao muda ulisimama ukawa unawnda taratibu sana hawakuamini kilichoendelea.

      "ha...ha...haiwezekani" alisema David

     " nini eh!! mbona un...." mama James hakuweza kumalizia baada ya kumwona Bossi hali yake ikabailika na kuanza kutapatapa kama samaki nje ya maji asijue la kuongea huku akimhisi David kuwa amepanga njama za kumuharibia na kumpindua ila haikuwa hivyo maana hata yeye alikuwa na hofu ya kutosha

Comments

Popular posts from this blog

THE UNKNOWN

  CHAPTER SIX Previously Detective’s daughter was kidnapped by a stranger then a man ran to the police station with blood all over him and said he didn't want to die so what happened next…….. Continue…. “Please put me in jail” a blooded man said “Why?”  a confused police asked            "Am the one who kidnap detective's daughter" a blooded man said             "So where is the child?" A police asked               "In my safe house" he answered            "So can you go with us?" A police asked            '' i can't she is hunting me"  the blooded man said with frightened voice             "Ok calm down you'll be with ...

WHO I AM

                                            CHAPTER ONE                 In this world, there are two genders and we all know about them I mean male and female. But there are other people who are... Let's make it clear have the third gender, but no one talks about it or believes that is real even America I didn't think that they care or talk about it. Okay, take it easy, just relaxes I know you have many questions and your eyes are open wide I will tell you about my gender and the one who inspired me to write or document this story.           Ok, let's start from the beginning. My name is Jordan Issah born in 2001 in Kilimanjaro and am the firstborn of my father. I love him because he is the one who motivates me and is with me the whole time I love him so much. And ...

THE UNKNOWN

CHAPTER THREE Previous chapter A new detective was introduced in the team as the killer said so who is he and did they hany any connection.   let's continue….   "Did your remember what that man said before the meeting" said detective Patrick   "What you want to say?" Said inspector Jack   "This might be a mole who might be used by a killer" detective said    "Detective we got news about those previous murders" said police secretary     "Ok call everyone here in the room keep the eye on this new Detective" Detective Jack said    "Ok so the first man who killed was known as Mr Patrick Livingston he was a judge in high court from 1980 to 2021 when he retired" said secretary     "Ok so this is the guy who reported missing two weeks ago" New detective said     "That's the point kid" inspector Jack said     "The question is why this killer, do this?"...