Skip to main content

Posts

THE HUNTER

 CHAPTER TWO. Miaka kumi baada ya tukio. Kijana mmoja anashuka kwenye ndege kwenye uwanja wa ndege wa mwalimu Nyerere huku akivaa nguo nzuri za gharama na kupokelewa na mwanaume mwingine aliyekuwa anamsubiri.    "habari yako bosi pole kwa safari" alisema yule mtu aliyekuwa anamsubiria   "salama James za siku nyingi?" aliuliza yule bosi kwa sauti yake ya kukwaruzakwaruza kama mtu aliyekabwa hali hiyo ilimuuma ila hakuwa na jinsi na ameshaanza kuzoea     "salama mkuu" alisema James     "Twende zetu home tutajua la kufanya"alisema bossi     "sawa bosi"alisema huku akitaka kuchukua mizigo ila alikuta bossi kashaichukua na kuiweka kwenye buti ya gari     "sasa bosi si uache nikusaidie" alisema James     "unisaidie..... KWANI UMESIKIA MIMI NI MLEMAVU?" aliuliza bossi kwa jazba    "hapana mkuu"alijibu Jamesi kwa hofu    "Dah!! saamahani bhana alisema bossi huku akiachia ule mzigo ...

THE HUNTER

                             CHAPTER ONE             Kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 15 dereva bodaboda  akiwa nyumbani kwake huku akitazama luninga yenye kipindi akipendacho alishtuka baada ya simu yake kuita.       "nani tena huyu? alijiuliza huku akienda kuipokea simu       "haloo David unaweza kuja kunichukua na bodaboda hapa moshi mjini?" aliuliza yule mtu alliye piga simu      "mh!! mbona saizi na pia ratiba yangu hairuhusu" alisema David huku akitaka kukata simu     "bro kwani shida ni nini wewe si unataka pesa?" aliuliza yule mpiga simu     "hatakama nina sheria zangu" alisema David     "David eh!! nisaidie kewapeleka mimi nimepata mchongo ndo nafanya na h...

THE UNKNOWN

  Chapter two     Previous on ep one Police arrived at the place where they were instructed and saw a terrifying scene of murder. And they receive a mysteriously phone and get a dedication to Matindigani….. Continue:         Few minutes later in Matindigani    " Oh Jesus Christ!!" One of the police said   " Damn is this a human being oh God!!?" Said detective Patrick   " Mh!! This man is a definition of evil" inspector Jack said   " Ok this is the same killer who kill those previous victims" detective said     " Ok so what we gonna do because it so hard to know?" One police said     "Let's gather evidence first and take time to think about it" insp ector Jack said    " Ok as you say sir" detective Patrick said but before they leave the place detective get a phone call.      " Hello detective how was your day so far...

THE UNKNOWN

Episode one             Police arrived at the house according to the suspicious phone they got from a mysterious guy who give them that location. It was a one-room house and that room was huge like a container it has nothing in it except a chair in the middle of it and a dead man on sit on it. They get a step closer after they get closer they are traumatized by what they saw a man whose chest was cut open all his intestines removed his eyes were removed also one of the room’s walls was written 8.21.14.20.5.18 by the victim's intestines.   “Oh for God’s name!!??” inspector Jack said “Damn who did such a thing,” another police said while others vomited and others were terrified “Everyone calm down, let’s search for the clue they left,” a calm voice of a man said this man was a detective and his name was Patrick. Everyone was still in shock, but they continue to do their work any way they gather clues and evidence. ...

The dreamer

           I wake up as usual, except today I woke up early as but the house was not our house so where am I ask myself but I've no answer I start to call if there's someone " hello there someone here hello" no one to answer me but I start to feel a little like something is little bit off and the house looks old. What is this please I ask myself after few steps I reach the dinning room and I walking through the door I was shocked to see a huge forest in front of me "what the....?" I asked myself but it wasn't only front tho I mean the house is in the middle of the forest. When my mind start to figure it out how and why am in this place an old woman approach me without me noticing.       " Kid are u lost" she asked     "Yes Grandma I don't know why I am here and who brought me here" I answered    " You can sleep here my son and tommorow you will continue with you journey"she said     "Tommorow!!!?"I aske...

WHO I AM

                                            CHAPTER ONE                 In this world, there are two genders and we all know about them I mean male and female. But there are other people who are... Let's make it clear have the third gender, but no one talks about it or believes that is real even America I didn't think that they care or talk about it. Okay, take it easy, just relaxes I know you have many questions and your eyes are open wide I will tell you about my gender and the one who inspired me to write or document this story.           Ok, let's start from the beginning. My name is Jordan Issah born in 2001 in Kilimanjaro and am the firstborn of my father. I love him because he is the one who motivates me and is with me the whole time I love him so much. And ...

UONGO UNAOSAMBAA KUHUSU KORONA

  Maradhi haya ni hatari  na ni janga la ulimwengu kwa sasa na zimesambaa sana hapa nchini juu ya maradhi haya ya Corona. Huu ndio ukweli 1:-Corona Ni virusi vinavyosababisha ugonjwa uitwao COVID-19.   >>Virusi hivi humpata yeyote nipende kuondoa dhana ya kuwa ukiwa mtu mweusi haupati huo ni UONGO 2:-COVID-19 Husambaaje au huambukizwaje?? Tumedanganyana sana juu ya ugonjwa huu unavyosambaa tena makutishiana zaidi Eti ugonjwa huu Husambaaje kwa njia ya hewa ndo maana wanavaa mask au eti ukigusana na mtu mwenye Corona ndo utapata ndo maaa wanavaa gloves >>> Ukweli ndio huu hapa ugonjwa huu unaambukizwa au kusambaa pale mate,makasi au makohozi  ya mtu mwenye maambukizi virusi hivyo yanapogusa uso was mtu asiye na maambukizi na hapo mtu ataambukuzwa >>Sababu ya kuvaa mask Ni ili kuzuia zili chembe za mate au makohozi zisiguse maeneo ya uso wako.      MAKALA HII ITAENDELEA